Isaya 38:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Aliye hai, aliye hai, ndiye anayeweza kukusifu,+Kama vile mimi ninavyoweza leo hii.+Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi+ kuhusu ukweli wako. Mathayo 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeye akasema: “Ndiyo, Bwana; lakini kwa kweli hao mbwa wadogo hula sehemu ya makombo yanayoanguka kutoka kwenye meza ya mabwana zao.”+
19 Aliye hai, aliye hai, ndiye anayeweza kukusifu,+Kama vile mimi ninavyoweza leo hii.+Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi+ kuhusu ukweli wako.
27 Yeye akasema: “Ndiyo, Bwana; lakini kwa kweli hao mbwa wadogo hula sehemu ya makombo yanayoanguka kutoka kwenye meza ya mabwana zao.”+