Methali 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hekima ya mwerevu ni kuelewa njia yake,+ lakini upumbavu wa wajinga ni udanganyifu.+ Mathayo 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye atawaweka kondoo kwenye mkono wake wa kuume,+ lakini mbuzi kwenye mkono wake wa kushoto.+ Luka 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa mfano, ni nani kati yenu anayetaka kujenga mnara ambaye haketi kwanza na kuhesabu gharama,+ ili aone kama ana kiasi cha kutosha kuukamilisha?
28 Kwa mfano, ni nani kati yenu anayetaka kujenga mnara ambaye haketi kwanza na kuhesabu gharama,+ ili aone kama ana kiasi cha kutosha kuukamilisha?