Methali 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata katika kicheko moyo unaweza kuwa na maumivu;+ na kushangilia huishia katika huzuni.+ Mhubiri 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kicheko cha mjinga+ ni kama sauti ya miiba chini ya chungu; na hilo pia ni ubatili.