Ayubu 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yeye ameikomboa nafsi yangu isiingie shimoni,+Na uzima wangu wenyewe utaona nuru.’ Methali 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Maskini na mtu mwenye kukandamiza wamekutana;+ lakini Yehova anayatia nuru macho yao wote wawili.+ Mhubiri 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hekima pamoja na urithi ni nzuri na ni yenye faida kwa wale wanaoliona jua.+
13 Maskini na mtu mwenye kukandamiza wamekutana;+ lakini Yehova anayatia nuru macho yao wote wawili.+