14 Nami nikapita kuelekea Lango la Chemchemi+ na kwenye Kidimbwi cha Mfalme, na yule mnyama wa kufugwa aliyekuwa chini yangu hakuwa na mahali pa kupitia.
4 Shingo yako+ ni kama mnara wa pembe ya tembo. Macho yako+ ni kama vidimbwi katika Heshboni,+ kando ya lango la Bath-rabimu. Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni, ambao unaelekea Damasko.