Zaburi 45:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Atapelekwa kwa mfalme akiwa na mavazi yaliyofumwa.+Mabikira katika msafara wake ambao ni rafiki zake wanaingizwa ndani kwako.+ Ufunuo 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni tushangilie na kuwa wenye shangwe mno, na tumpe yeye utukufu,+ kwa sababu ndoa+ ya Mwana-Kondoo imefika+ na mke wake amejitayarisha.+
14 Atapelekwa kwa mfalme akiwa na mavazi yaliyofumwa.+Mabikira katika msafara wake ambao ni rafiki zake wanaingizwa ndani kwako.+
7 Acheni tushangilie na kuwa wenye shangwe mno, na tumpe yeye utukufu,+ kwa sababu ndoa+ ya Mwana-Kondoo imefika+ na mke wake amejitayarisha.+