Zaburi 45:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa kweli wewe una sura nzuri kuliko wana wa binadamu.+Uvutio umemiminwa juu ya midomo yako.+Ndiyo sababu Mungu amekubariki mpaka wakati usio na kipimo.+ Wimbo wa Sulemani 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Kama mtofaa+ katikati ya miti ya msituni, ndivyo alivyo mpenzi wangu katikati ya wana.+ Kivuli chake nimekitamani sana, na hapo nimekaa chini, na matunda yake yamekuwa matamu kinywani mwangu.
2 Kwa kweli wewe una sura nzuri kuliko wana wa binadamu.+Uvutio umemiminwa juu ya midomo yako.+Ndiyo sababu Mungu amekubariki mpaka wakati usio na kipimo.+
3 “Kama mtofaa+ katikati ya miti ya msituni, ndivyo alivyo mpenzi wangu katikati ya wana.+ Kivuli chake nimekitamani sana, na hapo nimekaa chini, na matunda yake yamekuwa matamu kinywani mwangu.