Wimbo wa Sulemani 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msinitazame kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu mwenyewe walinikasirikia; waliniweka kuwa mtunzaji wa mashamba ya mizabibu,+ ijapokuwa sikulitunza shamba langu mwenyewe la mizabibu. Ufunuo 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni tushangilie na kuwa wenye shangwe mno, na tumpe yeye utukufu,+ kwa sababu ndoa+ ya Mwana-Kondoo imefika+ na mke wake amejitayarisha.+
6 Msinitazame kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu mwenyewe walinikasirikia; waliniweka kuwa mtunzaji wa mashamba ya mizabibu,+ ijapokuwa sikulitunza shamba langu mwenyewe la mizabibu.
7 Acheni tushangilie na kuwa wenye shangwe mno, na tumpe yeye utukufu,+ kwa sababu ndoa+ ya Mwana-Kondoo imefika+ na mke wake amejitayarisha.+