Zaburi 130:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nafsi yangu imemngojea Yehova+Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+Ambao wanaingojea asubuhi.+ Wimbo wa Sulemani 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Walinzi+ waliokuwa wakizunguka jijini wakanikuta. Wakanipiga, wakaniumiza. Walinzi wa kuta+ wakanivua kifuniko changu kipana.
7 Walinzi+ waliokuwa wakizunguka jijini wakanikuta. Wakanipiga, wakaniumiza. Walinzi wa kuta+ wakanivua kifuniko changu kipana.