Nehemia 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Zaidi ya hayo, nikawaambia watu wakati huo: “Wanaume na wakae usiku katikati ya Yerusalemu,+ kila mmoja na mtumishi wake, nao wawe walinzi wetu wakati wa usiku na wafanyakazi wakati wa mchana.” Mhubiri 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usingizi wa mtumishi ni mtamu,+ bila kujali kama anakula kidogo au kingi; lakini wingi alio nao tajiri haumruhusu kulala.
22 Zaidi ya hayo, nikawaambia watu wakati huo: “Wanaume na wakae usiku katikati ya Yerusalemu,+ kila mmoja na mtumishi wake, nao wawe walinzi wetu wakati wa usiku na wafanyakazi wakati wa mchana.”
12 Usingizi wa mtumishi ni mtamu,+ bila kujali kama anakula kidogo au kingi; lakini wingi alio nao tajiri haumruhusu kulala.