Zaburi 37:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+ Zaburi 45:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa kweli wewe una sura nzuri kuliko wana wa binadamu.+Uvutio umemiminwa juu ya midomo yako.+Ndiyo sababu Mungu amekubariki mpaka wakati usio na kipimo.+
30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+
2 Kwa kweli wewe una sura nzuri kuliko wana wa binadamu.+Uvutio umemiminwa juu ya midomo yako.+Ndiyo sababu Mungu amekubariki mpaka wakati usio na kipimo.+