25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya Nguzo na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,+ ule wa juu ambao ni wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+
4 Shingo yako+ ni kama mnara wa pembe ya tembo. Macho yako+ ni kama vidimbwi katika Heshboni,+ kando ya lango la Bath-rabimu. Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni, ambao unaelekea Damasko.