Isaya 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, ataendelea kupeleka ugonjwa unaodhoofisha juu ya watu wake wanono,+ na chini ya utukufu wake mteketezo utaendelea kuteketeza kama mteketezo wa moto.+ Isaya 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba utukufu wa Yakobo utakuwa wa hali ya chini,+ na hata unono wa nyama yake utakondeshwa.+
16 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, ataendelea kupeleka ugonjwa unaodhoofisha juu ya watu wake wanono,+ na chini ya utukufu wake mteketezo utaendelea kuteketeza kama mteketezo wa moto.+
4 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba utukufu wa Yakobo utakuwa wa hali ya chini,+ na hata unono wa nyama yake utakondeshwa.+