Kumbukumbu la Torati 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake. Isaya 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, ataendelea kupeleka ugonjwa unaodhoofisha juu ya watu wake wanono,+ na chini ya utukufu wake mteketezo utaendelea kuteketeza kama mteketezo wa moto.+
15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.
16 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, ataendelea kupeleka ugonjwa unaodhoofisha juu ya watu wake wanono,+ na chini ya utukufu wake mteketezo utaendelea kuteketeza kama mteketezo wa moto.+