Zaburi 107:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wanayumba-yumba na kwenda huku na huku kama mlevi,+Na hata hekima yao yote huvurugika.+ Isaya 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova mwenyewe amechanganya katikati yake roho ya mvurugo;+ nao wamesababisha Misri kwenda huku na huku katika kazi yake yote, kama mtu aliyelewa anavyogaagaa katika matapiko yake.+ Isaya 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kawieni, na mshangae;+ jitieni upofu, na mtiwe upofu.+ Wamelewa, lakini si kwa divai;+ wametembea kwa kuyumba-yumba, lakini si kwa sababu ya kileo.+
14 Yehova mwenyewe amechanganya katikati yake roho ya mvurugo;+ nao wamesababisha Misri kwenda huku na huku katika kazi yake yote, kama mtu aliyelewa anavyogaagaa katika matapiko yake.+
9 Kawieni, na mshangae;+ jitieni upofu, na mtiwe upofu.+ Wamelewa, lakini si kwa divai;+ wametembea kwa kuyumba-yumba, lakini si kwa sababu ya kileo.+