Ayubu 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama mtumwa, yeye hupumua kwa kutamani kivuli,+Naye hungojea mshahara wake kama mfanyakazi wa kukodiwa.+ Isaya 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+
2 Kama mtumwa, yeye hupumua kwa kutamani kivuli,+Naye hungojea mshahara wake kama mfanyakazi wa kukodiwa.+
10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+