9 Lakini mambo haya mawili yatakujia wewe kwa ghafula,+ katika siku moja: kupoteza watoto na ujane. Yatakuja juu yako kwa kipimo chake kamili,+ kwa ajili ya wingi wa ulozi wako, kwa ajili ya nguvu kamili za maapizo yako—kwa kuzidi mno.+
3 “Mambo ya kwanza nimeyatangaza tangu wakati ule, nayo yalitoka katika kinywa changu mwenyewe, nami nikaendelea kuyafanya yasikiwe.+ Kwa ghafula nilitenda, na mambo yale yakafika.+