2 Mambo ya Nyakati 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na yale mambo mengine ya Uzia,+ ya kwanza na ya mwisho, Isaya+ mwana wa Amozi+ nabii ameyaandika. Luka 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya nabii Isaya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake.+
4 kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya nabii Isaya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake.+