Mwanzo 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha akasema: “Mungu ameondolea mbali shutuma yangu!”+ Isaya 54:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usiogope,+ kwa maana hutaaibishwa; wala usifedheheke,+ kwa maana hutakatishwa tamaa.+ Kwa maana utaisahau hata aibu ya wakati wa ujana wako,+ nawe hutaikumbuka tena shutuma ya ujane wako wenye kuendelea.” Luka 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Hivi ndivyo Yehova ameshughulika nami siku hizi wakati amenipa uangalifu wake ili kuondolea mbali shutuma yangu katikati ya watu.”+
4 Usiogope,+ kwa maana hutaaibishwa; wala usifedheheke,+ kwa maana hutakatishwa tamaa.+ Kwa maana utaisahau hata aibu ya wakati wa ujana wako,+ nawe hutaikumbuka tena shutuma ya ujane wako wenye kuendelea.”
25 “Hivi ndivyo Yehova ameshughulika nami siku hizi wakati amenipa uangalifu wake ili kuondolea mbali shutuma yangu katikati ya watu.”+