Isaya 55:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+ Tito 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+
2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+