Luka 24:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 na kwa msingi wa jina lake toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu,+ Waroma 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nao watahubirije isipokuwa wawe wametumwa?+ Kama ilivyoandikwa: “Jinsi ilivyo yenye kupendeza miguu ya wale wanaotangaza habari njema ya mambo mema!”+
47 na kwa msingi wa jina lake toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu,+
15 Nao watahubirije isipokuwa wawe wametumwa?+ Kama ilivyoandikwa: “Jinsi ilivyo yenye kupendeza miguu ya wale wanaotangaza habari njema ya mambo mema!”+