16 Wewe nawe, inua fimbo+ yako na kuunyoosha mkono wako juu ya bahari, uitenganishe,+ ili wana wa Israeli wapate kupita katikati ya bahari juu ya nchi kavu.+
13 Na itatukia kwamba mara tu nyayo za miguu ya makuhani wanaolichukua sanduku la Yehova, Bwana wa dunia yote, zitakapokanyaga maji ya Yordani, maji ya Yordani yatazuiliwa, maji yanayoshuka kutoka juu, nayo yatasimama kama ukuta wa maji.”+