Isaya 40:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeye huchagua mti fulani uwe mchango, mti ambao haujaoza.+ Hujitafutia fundi stadi, ili kutayarisha sanamu ya kuchongwa+ isiyoweza kufanywa iyumbe-yumbe.+ Yeremia 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu+ ni pumzi tu, kwa sababu ni mti+ tu ambao mtu amekata kutoka msituni, kazi ya mikono ya fundi mwenye tezo.+
20 Yeye huchagua mti fulani uwe mchango, mti ambao haujaoza.+ Hujitafutia fundi stadi, ili kutayarisha sanamu ya kuchongwa+ isiyoweza kufanywa iyumbe-yumbe.+
3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu+ ni pumzi tu, kwa sababu ni mti+ tu ambao mtu amekata kutoka msituni, kazi ya mikono ya fundi mwenye tezo.+