Isaya 44:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kuna mtu ambaye kazi yake ni kukata mierezi; naye huchukua aina fulani ya mti, mti mkubwa, naye huuachilia uwe na nguvu kwa ajili yake mwenyewe kati ya miti ya msituni.+ Aliupanda mlaurusi, na mvua inayonyesha huendelea kuufanya uwe mkubwa. Yeremia 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu+ ni pumzi tu, kwa sababu ni mti+ tu ambao mtu amekata kutoka msituni, kazi ya mikono ya fundi mwenye tezo.+
14 Kuna mtu ambaye kazi yake ni kukata mierezi; naye huchukua aina fulani ya mti, mti mkubwa, naye huuachilia uwe na nguvu kwa ajili yake mwenyewe kati ya miti ya msituni.+ Aliupanda mlaurusi, na mvua inayonyesha huendelea kuufanya uwe mkubwa.
3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu+ ni pumzi tu, kwa sababu ni mti+ tu ambao mtu amekata kutoka msituni, kazi ya mikono ya fundi mwenye tezo.+