Zaburi 107:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambohayo+Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+ Isaya 41:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ili watu waone na kujua na kusikiliza na kuwa na ufahamu wakati uleule, kwamba ni mkono wa Yehova umefanya hayo, na ni Mtakatifu wa Israeli aliyeumba hilo.”+
43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambohayo+Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+
20 ili watu waone na kujua na kusikiliza na kuwa na ufahamu wakati uleule, kwamba ni mkono wa Yehova umefanya hayo, na ni Mtakatifu wa Israeli aliyeumba hilo.”+