8 Neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ambaye anawakusanya waliotawanyika wa Israeli,+ ni hili: “Nitawakusanya pamoja kwake wengine mbali na wale walio wake ambao tayari wamekusanywa.”+
37 “Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii+ na ambaye huwapiga kwa mawe+ wale waliotumwa kwake,+—ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake!+ Lakini hamkutaka.+