Ayubu 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye ni kama kitu kilichooza ambacho huchakaa;+Kama vazi ambalo nondo kweli hula.+ Zaburi 39:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Umemrekebisha mtu kwa makaripio dhidi ya kosa,+Nawe unakula vitu vyake vyenye kutamanika kama nondo.+Kwa kweli kila mtu wa udongo ni pumzi tu.+ Sela.
11 Umemrekebisha mtu kwa makaripio dhidi ya kosa,+Nawe unakula vitu vyake vyenye kutamanika kama nondo.+Kwa kweli kila mtu wa udongo ni pumzi tu.+ Sela.