Yeremia 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi: Yona 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Yehova mwenyewe akavumisha upepo mkubwa baharini,+ kukawa na tufani kubwa+ baharini; nayo meli ikawa karibu kuvunjika.
35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:
4 Na Yehova mwenyewe akavumisha upepo mkubwa baharini,+ kukawa na tufani kubwa+ baharini; nayo meli ikawa karibu kuvunjika.