13 “Mimi nimemwamsha mtu katika uadilifu,+ na njia zake zote nitazinyoosha.+ Yeye ndiye atakayelijenga jiji langu,+ na watu wangu walio uhamishoni atawaacha waende zao,+ si kwa bei+ fulani wala kwa rushwa,” Yehova wa majeshi amesema.
18 Kwa maana mnajua kuwa si kwa vitu vyenye kuharibika,+ kwa fedha au dhahabu, kwamba mlikombolewa+ kutoka kwenye namna ya mwenendo wenu usiozaa matunda ambao ulipokewa kwa njia ya mapokeo kutoka kwa mababu zenu.