Malaki 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nanyi mmesema, ‘Kwa sababu gani?’+ Kwa sababu hii, kwamba Yehova ametoa ushahidi kati yako na mke wa ujana wako,+ ambaye wewe umemtendea kwa hila, ingawa yeye ni mwenzako naye ni mke wa agano lako.+
14 Nanyi mmesema, ‘Kwa sababu gani?’+ Kwa sababu hii, kwamba Yehova ametoa ushahidi kati yako na mke wa ujana wako,+ ambaye wewe umemtendea kwa hila, ingawa yeye ni mwenzako naye ni mke wa agano lako.+