Methali 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 anayemwacha rafiki wa ujana wake+ na ambaye amelisahau agano la Mungu wake.+ Mathayo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kusema, ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?+
5 na kusema, ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?+