Zaburi 119:111 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 111 Nimevichukua vikumbusho vyako kuwa ni urithi mpaka wakati usio na kipimo,+Kwa maana hivyo ni furaha ya moyo wangu.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu. Matendo 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 bali katika kila taifa mtu ambaye anamwogopa na kutenda uadilifu anakubalika kwake.+
111 Nimevichukua vikumbusho vyako kuwa ni urithi mpaka wakati usio na kipimo,+Kwa maana hivyo ni furaha ya moyo wangu.+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.