Isaya 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi; Isaya 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Sayuni akaendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova mwenyewe amenisahau.”+
14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi;