10 Tazama! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakuja kama mtu mwenye nguvu, na mkono wake utakuwa ukitawala kwa ajili yake.+ Tazama! Thawabu yake iko pamoja naye,+ na mshahara anaolipa uko mbele zake.+
4 Lakini mimi nikasema: “Nimefanya kazi ya kutaabika bure.+ Nimemaliza nguvu zangu kwa ajili ya jambo lisilo la kweli na la ubatili.+ Kwa kweli hukumu yangu ina Yehova,+ na malipo yangu yana Mungu wangu.”+