13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+
11 “‘“‘Nalo taifa litakalotia shingo yake chini ya nira ya mfalme wa Babiloni na kwa kweli limtumikie, mimi pia nitaliacha lipumzike juu ya nchi yake,’ asema Yehova, ‘nalo hakika litailima na kukaa ndani yake.’”’”+