Maombolezo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lo! jinsi inavyofifia dhahabu yenye kung’aa, dhahabu iliyo nzuri!+Lo! jinsi mawe matakatifu+ yanavyomwagwa mbele ya barabara zote!+ Ezekieli 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mwana wa binadamu, kwangu mimi wale wa nyumba ya Israeli wamekuwa kama takataka.+ Wote ni shaba na bati na chuma na risasi katikati ya tanuru. Wamekuwa takataka nyingi, ile ya fedha.+
4 Lo! jinsi inavyofifia dhahabu yenye kung’aa, dhahabu iliyo nzuri!+Lo! jinsi mawe matakatifu+ yanavyomwagwa mbele ya barabara zote!+
18 “Mwana wa binadamu, kwangu mimi wale wa nyumba ya Israeli wamekuwa kama takataka.+ Wote ni shaba na bati na chuma na risasi katikati ya tanuru. Wamekuwa takataka nyingi, ile ya fedha.+