7 Ndipo Sulemani akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi,+ chukizo+ la Moabu juu ya mlima+ uliokuwa mbele+ ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki, chukizo la wana wa Amoni.
27 Mwishowe akamchukua mwana wake mzaliwa wa kwanza ambaye angetawala mahali pake, akamtoa+ kuwa dhabihu ya kuteketezwa juu ya ukuta. Na pakawa na ghadhabu kubwa juu ya Israeli, hivi kwamba wakaondoka, wakamwacha na kurudi katika nchi yao.
7 Kwa sababu tegemeo lako liko katika kazi zako na katika hazina zako, wewe pia utatekwa.+ Na hakika Kemoshi+ ataenda uhamishoni,+ makuhani wake na wakuu wake wakati uleule.+