Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+

  • Ezekieli 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “ ‘Katika barabara watatupa fedha yao wenyewe, na dhahabu yao wenyewe itakuwa chukizo. Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwakomboa katika siku ya ghadhabu ya Yehova.+ Nafsi zao hawatazishibisha, nayo matumbo yao hawatayajaza, kwa maana ni kikwazo kinachosababisha kosa lao.+

  • Hosea 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ninyi mmelima uovu.+ Nanyi mmevuna ukosefu wa uadilifu.+ Mmekula matunda ya udanganyifu,+ kwa maana mmetegemea njia yenu,+ katika wingi wa watu wenu wenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki