Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+ Zaburi 146:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+ Yeremia 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+
16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+
3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+
5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+