9 Ole wake yeye ambaye ameshindana na Mfanyizaji wake,+ kama kigae cha udongo na vigae vingine vya udongo! Je, udongo+ umwambie mfanyizaji wake: “Wewe hutengeneza nini?” Na kitu ulichotengeneza kiseme: “Yeye hana mikono”?
20 Basi, Ee mwanadamu,+ kwa kweli wewe ni nani ndipo uthubutu kumjibu Mungu?+ Je, kitu kilichofinyangwa kitamwambia yeye aliyekifinyanga, “Kwa nini ulinifanya mimi hivi?”+