Yeremia 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Simama, ushuke mpaka nyumba ya mfinyanzi,+ na hapo nitakufanya usikie maneno yangu.” Waroma 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwani? Je, mfinyanzi+ hana mamlaka juu ya udongo wa mfinyanzi kufanya kutokana na donge lilelile chombo kimoja kwa matumizi yenye kuheshimika, kingine kwa matumizi yasiyo na heshima?+
21 Kwani? Je, mfinyanzi+ hana mamlaka juu ya udongo wa mfinyanzi kufanya kutokana na donge lilelile chombo kimoja kwa matumizi yenye kuheshimika, kingine kwa matumizi yasiyo na heshima?+