2 Timotheo 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi ndani ya nyumba kubwa mna vyombo vya dhahabu na fedha, na pia mna vyombo vya miti na vya udongo, na vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kuheshimika lakini vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kukosa heshima.+
20 Basi ndani ya nyumba kubwa mna vyombo vya dhahabu na fedha, na pia mna vyombo vya miti na vya udongo, na vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kuheshimika lakini vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kukosa heshima.+