Yeremia 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Simama katika lango la nyumba ya Yehova, nawe utangaze hapo neno hili,+ na kusema, ‘Sikieni neno la Yehova, ninyi nyote wa Yuda, mnaoingia katika malango haya ili kumwinamia Yehova. Yeremia 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nawe uwaambie, ‘Sikieni neno la Yehova, ninyi wafalme wa Yuda na Yuda yote na ninyi wakaaji wote wa Yerusalemu, mnaoingilia malango haya.+
2 “Simama katika lango la nyumba ya Yehova, nawe utangaze hapo neno hili,+ na kusema, ‘Sikieni neno la Yehova, ninyi nyote wa Yuda, mnaoingia katika malango haya ili kumwinamia Yehova.
20 Nawe uwaambie, ‘Sikieni neno la Yehova, ninyi wafalme wa Yuda na Yuda yote na ninyi wakaaji wote wa Yerusalemu, mnaoingilia malango haya.+