Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Sikieni hili, enyi vikundi vyote vya watu.

      Tegeni sikio, enyi wakaaji wote wa mfumo wa mambo,+

  • Methali 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Inaita penye mwisho wa upande wa juu wa barabara yenye kelele.+ Husema maneno yake katika mahali pa kuingilia malango ya jiji:+

  • Yeremia 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe useme, ‘Sikieni neno la Yehova, enyi wafalme wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu.+ Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli, amesema hivi:

      “‘“Tazama, ninaleta msiba juu ya mahali hapa, ambao yeyote akisikia habari zake, masikio yake yatawasha;+

  • Yeremia 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nawe useme, ‘Lisikie neno la Yehova, Ee mfalme wa Yuda unayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ wewe pamoja na watumishi wako na watu wako, wale wanaoingia kupitia malango haya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki