Zaburi 49:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Sikieni hili, enyi vikundi vyote vya watu.Tegeni sikio, enyi wakaaji wote wa mfumo wa mambo,+ Methali 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Inaita penye mwisho wa upande wa juu wa barabara yenye kelele.+ Husema maneno yake katika mahali pa kuingilia malango ya jiji:+ Yeremia 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe useme, ‘Sikieni neno la Yehova, enyi wafalme wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu.+ Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli, amesema hivi: “‘“Tazama, ninaleta msiba juu ya mahali hapa, ambao yeyote akisikia habari zake, masikio yake yatawasha;+ Yeremia 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe useme, ‘Lisikie neno la Yehova, Ee mfalme wa Yuda unayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ wewe pamoja na watumishi wako na watu wako, wale wanaoingia kupitia malango haya.+
21 Inaita penye mwisho wa upande wa juu wa barabara yenye kelele.+ Husema maneno yake katika mahali pa kuingilia malango ya jiji:+
3 Nawe useme, ‘Sikieni neno la Yehova, enyi wafalme wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu.+ Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli, amesema hivi: “‘“Tazama, ninaleta msiba juu ya mahali hapa, ambao yeyote akisikia habari zake, masikio yake yatawasha;+
2 Nawe useme, ‘Lisikie neno la Yehova, Ee mfalme wa Yuda unayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ wewe pamoja na watumishi wako na watu wako, wale wanaoingia kupitia malango haya.+