Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe uwaambie, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawajaza ulevi wakaaji wote wa nchi hii na wafalme wanaoketi kwa ajili ya Daudi+ juu ya kiti chake cha ufalme na makuhani na manabii na wakaaji wote wa Yerusalemu.+

  • Yeremia 17:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 basi pia wafalme pamoja na wakuu+ hakika wataingia kupitia malango ya jiji hili, wakikaa kwenye kiti cha ufalme cha Daudi,+ wakipanda gari na farasi, wao pamoja na wakuu wao, watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu; na hakika jiji hili litakaliwa mpaka wakati usio na kipimo.

  • Luka 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki