17 “Amka, amka, simama, Ee Yerusalemu,+ wewe ambaye umekunywa mkononi mwa Yehova kikombe chake cha ghadhabu.+ Bilauri, kikombe kinachosababisha kuyumba-yumba, umekunywa, umemaliza.+
6 Nami katika hasira yangu niliendelea kuvikanyagia chini vikundi vya watu, na katika ghadhabu yangu nikaendelea kuwalewesha+ na kuimwaga chini damu yao inayobubujika.”+
27 “Nawe utawaambia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Kunyweni, mlewe, mtapike na kuanguka hivi kwamba msiweze kusimama+ kwa sababu ya upanga ninaotuma katikati yenu.”’+