14 Kwa mkono wako, Ee Yehova, kutoka kwa watu,+
Kutoka kwa watu wa mfumo huu wa mambo,+ ambao fungu lao liko katika maisha haya,+
Na ambao tumbo lao wewe hulijaza kwa hazina iliyofichwa,+
Ambao wametosheka na wana+
Na ambao huwarundikia watoto wao vitu wanavyoacha.+