Methali 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kando ya malango, kinywani pa mji,+ kwenye kiingilio cha malango huendelea kulia kwa sauti kubwa:+ Yohana 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yesu akamjibu: “Nimesema na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika; nami sikusema jambo lolote katika siri.
20 Yesu akamjibu: “Nimesema na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika; nami sikusema jambo lolote katika siri.