2 Mambo ya Nyakati 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 zaidi ya zile zilizoletwa na wasafiri na wanabiashara+ waliokuwa wakileta na wafalme wote wa Waarabu+ na magavana wa nchi waliokuwa wakimletea Sulemani dhahabu na fedha. Yeremia 49:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Simameni, pandeni juu ya taifa ambalo linastarehe,+ linalokaa katika usalama!”+ asema Yehova. “Halina milango wala mapingo. Wanakaa peke yao.+
14 zaidi ya zile zilizoletwa na wasafiri na wanabiashara+ waliokuwa wakileta na wafalme wote wa Waarabu+ na magavana wa nchi waliokuwa wakimletea Sulemani dhahabu na fedha.
31 “Simameni, pandeni juu ya taifa ambalo linastarehe,+ linalokaa katika usalama!”+ asema Yehova. “Halina milango wala mapingo. Wanakaa peke yao.+