Hesabu 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kutoka juu ya miamba nawaona wao,Na kutoka vilimani nawatazama wao.Wakiwa kikundi cha watu wanaendelea kukaa wakiwa wamejitenga,+Nao hawajihesabu katikati ya mataifa.+ Kumbukumbu la Torati 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na Israeli atakaa katika usalama,+Chemchemi ya Yakobo peke yake,+Katika nchi ya nafaka na divai mpya.+Naam, mbingu zake zitatiririsha umande.+ Mika 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako,+ kundi la urithi wako, yeye aliyekuwa akikaa peke yake msituni—katikati ya shamba la matunda.+ Na walishe katika Bashani na Gileadi+ kama katika siku za zamani.+
9 Kwa maana kutoka juu ya miamba nawaona wao,Na kutoka vilimani nawatazama wao.Wakiwa kikundi cha watu wanaendelea kukaa wakiwa wamejitenga,+Nao hawajihesabu katikati ya mataifa.+
28 Na Israeli atakaa katika usalama,+Chemchemi ya Yakobo peke yake,+Katika nchi ya nafaka na divai mpya.+Naam, mbingu zake zitatiririsha umande.+
14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako,+ kundi la urithi wako, yeye aliyekuwa akikaa peke yake msituni—katikati ya shamba la matunda.+ Na walishe katika Bashani na Gileadi+ kama katika siku za zamani.+